Uhamisho kwa Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa July 2015.
10-Julai-2015.
Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI inatangaza orodha ya
Majina 4655 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za
Serikali za Mitaa nchini July 2015. Aidha orodha ya watumishi 115 ambao
hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Maelekezo yote muhimu yapo katika barua ambayo kila mtumishi atapatiwa kupitia kwa Wakurugenzi wa Mamlaka wanazotoka.
Post a Comment