
Sauti
za Kimahaba Huchangia kiasi kikubwa kuamsha mshawasha kwa Mwenzi wako
na kumfanya kujisikia raha na aman wakati wa tendo na hivyo kumfanya
asiweze kupoteza hamu ya kufanya tendo hilo, Hivyo unatakiwa kuwa
mbunifu wakati wa Tendo.
Mihemko
hiyo inaweza kuwa ni Ile miguno ya Hapa na pale pia Sauti za chini kwa
chini (sio mayowe ambayo yanaweza kumfanya Mwenzi wago kuhisi kama
anakuumiza). Hivyo inashauriwa kuwa makini katika utoaji wa sauti hizo
kwani zikizidi pia inaweza kuwa kero kwa mwenzi wako na kumfanya
kupoteza Hamu ya Tendo hilo.
Post a Comment