Habari Mbaya
kwa Watanzania Hasa wa Jimbo la Geita kwa kumpoteza Mbunge wao wa Jimbo
Hilo alie fariki Usiku huu, Mbunge huyo siku za nyuma Alisharipotiwa
kusumbuliwa na Ugonjwa wa Kansa ya Ubongo na akawa anapata Matibabu ya
Kansa ya Ubongo Nchini India.

Donald Max (enzi za uhai wake)
Post a Comment